Mwandishi machacahri wa wa Shirika la Reli Tanzania Ben Mwanantala akiwa na mkewe Suzan Mamkwe baada ya kufunga.ndoa katika kanisa la Mwenge Parokia ya Mwenge jijini Dar es salaan na kufuatiwa na mnuso wa nguvu katika ukumbi wa Mwenge Hall. Globu ya Jamii inatoa hongera sana kwa Ben ambaye ni mfano wa kuigwa kwa wanahabari wa kwenye taasisi za umma kwa weledi wake na kujituma,
Ben mwanantala na Suzan Mamkwe katika mnuso wao baada ya kumeremeta
Ben mwanantala na Suzan Mamkwe wakiwa na furaha kwa kumeremeta
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...