Tunampongeza Saddy Kambona kwa kufanikiwa kumaliza masomo yake ya shahada ya Uzamili(Masters) katika fani ya Sheria aliyotunukiwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) Novemba 13, 2018. Katika Sherehe za Mahafali iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City.
Saddy Kambona
Mzee Hamisi Kambona, baba mzazi, akimvalisha taji mwanaye Saddy Kambona ikiwa ni ishara ya kumpongeza katika Sherehe ya Mahafali iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City. Sherehe hiyo iliandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Novemba 13, 2018.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...