Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Balozi wa Palestina nchini Hamdi AbuAli alipomtembelea mapema leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Palestina nchini Hamdi AbuAli alipomtembelea mapema leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja  na Balozi wa Palestina nchini Hamdi AbuAli mara baada ya kuzungumza naye mapema leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia )katika picha ya pamoja  na Balozi wa Palestina nchini Hamdi AbuAli (wa pili kushoto) mara baada ya kuzungumza naye mapema leo Ofisini kwake Jijini Dodoma. Kushoto ni Mhe. Amina Makilagi na Kulia ni Mhe. Lolesia Bukwimba.

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...