Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Azania , Charles Itembe (kulia) akipongezana na  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo ambae pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw Eliud Sanga wakati wa kikao kifupi  kilichofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dodoma ili kutathmini mwenendo wa benki hiyo  ikiwemo ufunguzi wa tawi lake jipya jijni humo. Mfuko wa PSSSF ni moja ya wanahisa wakubwa wa benki hiyo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Azania , Charles Itembe (kulia) akimkabidhi zawadi kwa Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw Valerian Mablanketi wakati wa kikao kifupi  kilichofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dodoma ili kutathmini mwenendo wa benki hiyo  ikiwemo ufunguzi wa tawi lake jipya jijni humo. Mfuko wa PSSSF ni moja ya wanahisa wakubwa wa benki hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Azania , Charles Itembe (wa tatu kulia) pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo ambae pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw Eliud Sanga (kulia kwake) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi waandamizi wa Benki ya Azania pamoja na Mfuko wa PSSSF wakati wa kikao kifupi  mara baada ya kumaliza kikaohicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...