Mkurugenzi
Mtendaji wa benki ya Azania , Charles Itembe (kulia) akipongezana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki
hiyo ambae pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Watumishi wa
Umma (PSSSF) Bw Eliud Sanga wakati wa kikao kifupi kilichofanyika mwishoni mwa wiki jijini
Dodoma ili kutathmini mwenendo wa benki hiyo
ikiwemo ufunguzi wa tawi lake jipya jijni humo. Mfuko wa PSSSF ni moja
ya wanahisa wakubwa wa benki hiyo.
Mkurugenzi
Mtendaji wa benki ya Azania , Charles Itembe (kulia) akimkabidhi zawadi kwa
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Watumishi wa Umma
(PSSSF) Bw Valerian Mablanketi wakati wa kikao kifupi kilichofanyika mwishoni mwa wiki jijini
Dodoma ili kutathmini mwenendo wa benki hiyo
ikiwemo ufunguzi wa tawi lake jipya jijni humo. Mfuko wa PSSSF ni moja
ya wanahisa wakubwa wa benki hiyo.
Mkurugenzi
Mtendaji wa benki ya Azania , Charles Itembe (wa tatu kulia) pamoja na Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo ambae pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa
Hifadhi ya Jamii ya Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw Eliud Sanga (kulia kwake)
wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi waandamizi wa Benki ya Azania
pamoja na Mfuko wa PSSSF wakati wa kikao kifupi
mara baada ya kumaliza kikaohicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...