Mkurugenzi
Idara ya Fedha benki ya Exim, Bw Selemani Ponda (kulia) akipokea tuzo
kwa niaba ya benki hiyo toka kwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Bi
Ashatu Kijaji baada ya benki kuwa miongoni mwa benki tatu bora kuwa na
hati safi ya taarifa za fedha kwa upande wa mabenki nchini katika
ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu
(NBAA) kwa mwaka 2017. Tuzo hizo zilitolewa jijini Dar es Salaam hivi
karibuni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...