Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akiongea na wanahabari baada ya kuzindua Mkutano wa Kutoa matokeo ya mpango mkakati wa uboreshaji wa  huduma bora za afya nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 7, 2018
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akikagua mabanda ya washirika akiongozana na Mkurugenzi wa Idara ya Ubora na Uhakiki wa Huduma za Afya toka Wizara ya Afya Dkt.Mohamed Mohamed  baada ya kuzindua Mkutano wa Kutoa matokeo ya mpango mkakati wa uboreshaji wa  huduma bora za afya nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 7, 2018
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akikagua mabanda ya washirika akiongozana na Mkurugenzi wa Idara ya Ubora na Uhakiki wa Huduma za Afya toka Wizara ya Afya Dkt.Mohamed Mohamed  baada ya kuzindua Mkutano wa Kutoa matokeo ya mpango mkakati wa uboreshaji wa  huduma bora za afya nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 7, 2018
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akikagua mabanda ya washirika akiongozana na Mkurugenzi wa Idara ya Ubora na Uhakiki wa Huduma za Afya toka Wizara ya Afya Dkt.Mohamed Mohamed  baada ya kuzindua Mkutano wa Kutoa matokeo ya mpango mkakati wa uboreshaji wa  huduma bora za afya nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 7, 2018
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akikagua mabanda ya washirika akiongozana na Mkurugenzi wa Idara ya Ubora na Uhakiki wa Huduma za Afya toka Wizara ya Afya Dkt.Mohamed Mohamed  baada ya kuzindua Mkutano wa Kutoa matokeo ya mpango mkakati wa uboreshaji wa  huduma bora za afya nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 7, 2018
Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Ubora na Uhakiki wa Huduma za Afya toka Wizara ya Afya Dkt.Mohamed Mohamed  pamoja na washirika baada ya kuzindua Mkutano wa Kutoa matokeo ya mpango mkakati wa uboreshaji wa  huduma bora za afya nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba 7, 2018. Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...