Mkurugenzi mkuu wa LafargeHolcim na Mbeya Cement Company Limited nchini Ilse Boshoff akizungumza na waandishi wa habari katika semina elekezi kwa waandishi wa habari kuhusiana na utayari wao wa kusaidia maendeleo nchini, sambamba na nia yao ya kutoa gawio kwa serikali pamoja na ubora na uimara ya saruji inayozalishwa na kampuni hiyo yenye makao makuu jijiji Mbeya wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari iliyofanyika Ofisini kwao jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa Saruji Mark Chilambe akitoa mafunzo hayo ambapo ameeleza namna anavyozalisha saruji sambamba na utunzaji wa mazingira na amesema kuwa saruji wanazozalisha huuzwa kwa asilimia 8 nchini na nyingine husafirishwa nje ya nchi.
Mafunzo yakiendelea
Uongozi wa LafargeHolcim ukiwa kwenye picha ya pamoja na waandishi wa habari walioshiriki mafunzo hayo yaliyofanyika ofisini kwao jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...