Mkurugenzi wa Barabara wa Mamlaka ya Usafiri wa nchi Kavu na Majini (Sumatra) Johansen Kahatano akizungumza na Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahimu Samwix wakati  ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Barabara wa Mamlaka ya Usafiri wa nchi Kavu na Majini (Sumatra) Johansen Kahatano akipata maelezo kwa Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahimu Samwix wakati  ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahim Samwix wakiwa katika ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Ibrahim Samwix akiwa katika uvungu basi wakati akifanya ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Dereva akipata maelekezo na askari aliyechini ya uvungu ya basi wakati akifanyiwa ukaguzi wa mabasi ya mikoani na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Grant Pawa akimpa maelekezo fundi wa basi wakati akifanyiwa ukaguzi katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nuru Seif akimpa maelekezo fundi wa basi wakati akifanyiwa ukaguzi wa basi atika kituo kikuu cha katika mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.( Picha zote na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...