Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Kongwa akizungumza jambo katika Kikao kilichoendeshwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa Watendaji wa Mahakama ya Wilaya ya Kongwa.
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai pamoja na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma wakiwa katika picha ya pamoja na Watendaji mbalimbali wa Wilaya ya Kongwa.
pika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Kongwa akizungumza jambo katika Kikao kilichoendeshwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa Watendaji wa Mahakama ya Wilaya ya Kongwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...