Mwekahazina wa Kamati ya Bajeti ya Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA-AFRICA REGION) ambaye pia ni Mbunge wa Uganda Mhe. Elijah Okupa (katikati)akiongoza kikao cha Kamati hicho kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Wakwanza kushoto ni Spika wa Bunge la Kenya ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa CPA AFRIKA Mhe. Justin Mturi na wa kwanza kulia ni Katibu wa CPA AFRIKA ambaye pia Katibu wa Bunge la Tanzania Ndugu Stephen Kagaigai. Wengine katika picha ni Wajumbe wa Kamati hiyo pamoja na Sekretarieti ya CPA AFRIKA.
Mwekahazina wa Kamati ya Bajeti ya Chama cha Mabunge ya nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA-AFRICA REGION) ambaye pia ni Mbunge wa Uganda Mhe. Elijah Okupa (katikati)akiongoza kikao cha Kamati hicho kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Wakwanza kushoto ni Spika wa Bunge la Kenya ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa CPA AFRIKA Mhe. Justin Mturi na wa kwanza kulia ni Katibu wa CPA AFRIKA ambaye pia Katibu wa Bunge la Tanzania Ndugu Stephen Kagaigai. Wengine katika picha ni Wajumbe wa Kamati hiyo pamoja na Sekretarieti ya CPA AFRIKA.
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Chama cha Mabunge ya nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA-AFRICA REGION) (waliokaa) katika picha ya pamoja wakati walipokutana Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Katikati kwa waliokaa ni Spika wa Bunge la Kenya ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa CPA AFRIKA Mhe. Justin Mturi na waliosimama ni Sekretarieti ya CPA AFRIKA.
Spika wa Bunge la Kenya ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa CPA AFRIKA Mhe. Justin Mturi akiwaeleza jambo Wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Chama cha Mabunge ya nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA-AFRICA REGION) walipotembelea kiwanja kilichopo eneo la Mwongozo Kigamboni, kinachomilikiwa na Chama hicho.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA-AFRICA REGION) Ndg. Said Yakubu akiwaeleza jambo Wajumbe wa Kamati ya Bajeti wa chama hicho walipotembelea kiwanja kilichopo eneo la Mwongozo Kigamboni, kinachomilikiwa na Chama hicho.PICHA NA BUNGE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...