Mwenyekiti wa kamati ya Uchumi na ujenzi na mazingira,ambae ni Diwani wa kata Tengerea,Shabani Manda akizungumza na wadau mbalimbali wa maendele leo katika ziara ya madiwani ya kutembelea maeneo mbalimba ya uwekezaji katika kata ya Mbezi wilaya ya Mkuranga mkoa Pwani.
Diwani wa kata ya Mbezi,Rashid Selungwi (katikati) akisisitiza jambo mbele ya wadau wa maendeo katika ziara ya madiwani ya kutembelea maeneo mbalimbali ya uwekezaji leo wilaya ya Mkuranga mkoa Pwani.
Madiwani pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo wilaya ya Mkuranga mkoa Pwani, wakimsikiliza Mwenyekiti wa kamati ya uchumi,ujenzi na Mazingira ambaye ni Diwani wa kata ya Tengerea,Shabani Manda alipokuwa akizungumza nao, mara baada ya ziara ya kukagua maeneo mbalimbali ya uwekezaji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...