Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' leo amemvisha pete ya uchumba Happyness Msonga, shughuli iliyofanyika jijini Dar es Salaam ikiambatana na mbunge huyo kutoa mahari.


Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...