Mchezaji nyota wa Zamani wa klabu ya Yanga, Mzizima United na Taifa Stars, Hassan Goebles (Gobbos) amefariki dunia asubuhi hii jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa taarifa katika kundi la Whatsapp la wafanyakazi wastaafu wa Mamlaka ya Bandari, mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Sinza. Tutajulishana zaidi mara habari kamili za ratiba zitapopatikana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Innah lillah waina illah rajiun,allah akupe kaul thabit,akusamehe madhambi yako,akujaalie janatul firdous
ReplyDelete