Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto), akiweka sawa taarifa zake kabla ya kuziwasilisha katika Kikao cha Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), akisoma Taarifa ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), akisoma Taarifa ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), akisoma Taarifa ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu (kulia), akimwelekeza jambo Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, (CGP) Phaustine Kasike, kabla ya Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, hakijaanza, katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge, jijini Dodoma leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...