Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kukamilika Kusaini Mkataba wa kukubali kuchukua mali zilizokuwa zinamilikiwa na Banki, Mara baada ya kupatiwa majukumu hayo na Benki Kuu ya Tanzania kufuatia Benki M kuishiwa Ukwasi na kushindwa kujiendesha kwa ufanisi na taratibu za kibenki zinavyotaka.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kukamilika Kusaini Mkataba wa kukubali kuchukua mali zilizokuwa zinamilikiwa na Banki Mara baada ya kupatiwa amajukumu hayo na Benki Kuu ya Tanzania kufuatia Benki M kuishiwa Ukwasi na kushindwa kujiendesha kwa ufanisi na taratibu za kibenki zinavyotaka.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe akiwa katika picha na Watendaji Wakuu wa Idara kutoka Benki ya Azania.
Sehemu ya Waandishi wa Habari walioshiriki katika Mkutano huo uliofanyika Makao Makuu ya Benki hiyo Jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...