Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwa katika picha ya
pamoja na wachezaji wa michezo mbalimbali walioshiriki katika
mashindano ya michezo ya majeshi (BAMMATA). IGP alikutana na
wanamichezo hao Makao Makuu ya Polisi kuwapongeza na kuwatia
moyo ili wafanye vizuru zaidi katika michezo ijayo. PICHA NA JESHI LA
POLISI.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akimvisha nishani ya
dhahabu SGT Kenya wa kikosi cha kutuliza ghasia alioipata wakati wa
mashindano ya majeshi (BAMMATA) hivi karibuni katika uwanja wa
Uhuru jijini dare s salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akikabidhiwa moja ya
makombe yaliyopatikana katika michezo ya majeshi (BAMMATA) katika
mashindano yaliyomalizika hivi karibuni katika uwanja wa taifa jiji Dar
es Salaam. Anayemkabidhi kombe ni Mrakibu SP Mtafi, Afisa
Mnadhimu wa Kikosi cha Kutuliza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...