Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa michezo mbalimbali walioshiriki katika mashindano ya michezo ya majeshi (BAMMATA). IGP alikutana na wanamichezo hao Makao Makuu ya Polisi kuwapongeza na kuwatia moyo ili wafanye vizuru zaidi katika michezo ijayo. PICHA NA JESHI LA POLISI.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akimvisha nishani ya dhahabu SGT Kenya wa kikosi cha kutuliza ghasia alioipata wakati wa mashindano ya majeshi (BAMMATA) hivi karibuni katika uwanja wa Uhuru jijini dare s salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akikabidhiwa moja ya makombe yaliyopatikana katika michezo ya majeshi (BAMMATA) katika mashindano yaliyomalizika hivi karibuni katika uwanja wa taifa jiji Dar es Salaam. Anayemkabidhi kombe ni Mrakibu SP Mtafi, Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Kutuliza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...