Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta
Museveni mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa Africa Now Summit 2019
katika hoteli ya Munyonyo Commonwealth Resort mjini Kampala, Uganda.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Home
HABARI
TAARIFA
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS YOWERI MUSEVENI JIJINI KAMPALA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...