Mbunge wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe. Ibrahim Raza akizungumza na Kinamama wa Kikundi cha Green Rose mara baada ya kukizindua kikundi hicho kinachojishuhulisha na utengenezaji wa Mabatiki na Sabuni za aina mbalimbali katika hafla iliyofanyika Tawi la CCM kwa Mchina.
Mjumbe wa NEC Amini Salmin Amour akitoa nasaha zake kwa kinamama wa kikundi cha Green Rose kiliopo Jimbo la Kiembesamaki katika hafla ya uzinduzi wa kikundi hicho uliofanyika Tawi la CCM Mchina Mjini Unguja.
Wakinamama wa Kikundi cha Green Rose (UWT) Jimbo la Kiembesamaki wakimsikiliza Mbunge wao (hayupo pichani) Ibrahi Raza alipokuwa akizungumza nao
Mbunge wa Jimbo la Kiembesamaki Ibrahim Raza (katikati) akiwa na wanakikundi cha Green Rose katika picha ya pamoja. Kushoto ya Mjumbe wa NEC Amini Salmin Amour.Picha na Makame Mshenga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...