Mhandisi wa Maji wa Manispaa ya Ilala,Upendo Omary akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya Uzinduzi wa wiki ya Maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam ambapo Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka, DAWASA Inafanya Maadhimisho hayo kwa kutoa elimu kwa wakazi wa Dar es Salaam katika Viwanja vya Mnazi Mmoja ambapo wadau mbalimbali wameshiriki
Mhandisi wa Maji wa Manispaa ya Ilala,Upendo Omaryakizungumza na Waandishgi wa Habari juu ya Uzinduzi wa wiki ya Maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam ambapo Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka, DAWASA Inafanya Maadhimisho hayo kwa kutoa elimu kwa wakazi wa Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka DAWASA wakimsikiliza Mmoja wa Wakazi wa Dar es Salaam ambae amefika katika Maonyesho ya Wiki ya Maji yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam
Mwanamama akipata Maelezo kutoka kwa mmoja wa wato huduma kwa wateja juu ya huduma za DAWASA Katika Maonyesho ya Wiki ya Maji yanayoendeea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...