Wageni rasmi wakiongozwa na mwenyeji wao Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dr. Wilbroad Slaa, wakibadilishana mawili matatu kabla ya kuingia kwenye meli ya abiria iliyotumika kufanyia kongamano la Uwekezaji na uzinduzi rasmi waTDC Global.
Wadau mbalimbali, Diapora na wawekezaji walifika kuhudhuria kongamano wakijiandaa kuingia kwenye meli.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...