Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akilakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) wakati alipowasili katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wateja wake, iliyofanyika jana jioni kwenye hoteli ya Velde, Unguja Zanzibar. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Ayoub Mohammed Mahmoud.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (katikati) akimtambulisha kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (wa pili kulia), Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dkt. Joseph Witts wakati alipowasili katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wateja wake, iliyofanyika jana jioni kwenye hoteli ya Velde, Unguja Zanzibar. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Ayoub Mohammed Mahmoud na kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma Mbadala wa Benki ya CRDB, Philip Alfred.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akisalimiana na Mkurugenzi wa Huduma Mbadala wa Benki ya CRDB, Philip Alfred (kushoto) wakati alipowasili katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wateja wake, iliyofanyika jana jioni kwenye hoteli ya Velde, Unguja Zanzibar. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Ayoub Mohammed Mahmoud.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Ayoub Mohammed Mahmoud pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakielekea sehemu maalum iliyokuwa imetengwa kwaajili ya ibada ya Magharibi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela kabla ya kufanyika kwa ibada ya Magharibi, katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wateja wake, iliyofanyika jana jioni kwenye hoteli ya Velde, Unguja Zanzibar.
Swala ya Magharibi.
Dua baada ya Swalat Magharibi.
Ifrar.





Picha ya pamoja kwa baadhi ya Wafanyabiashara na Wateja wa Benki ya CRDB Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela katika hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wateja wake, iliyofanyika jana jioni kwenye hoteli ya Velde, Unguja Zanzibar.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...