Baadhi ya wananchi wa jiji la Dar es salaam, wakiwa katika soko la  Gongo la mboto  wakijipatiamahitaji yao kufuatia kuanza kwa Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Kwa mujibu wa wananunuzi hao,wameiambia Michuzi  Tv kwa nyakati tofauti kuwa bei ya bidhaa hizo  zina unafuu wa bei ambapo fungu moja la viazi limauzwa shilingi 1000 mpaka 2000 magimbi 1000 mpaka 3000 na Nazi kuanzia mia tano mpaka 1000  (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Wafanya biashara wa viazi katika  soko  la  Gongo la mboto wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam wakisubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali,ambapo fungu moja la viazi limauzwa shilingi 1000 mpaka 2000 magimbi 1000 mpaka 3000 na Nazi moja  kuanzia mia tano mpaka 1000.    

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...