Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Andrew Lyimo (kulia) akizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa huduma za reja reja wa benki hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Andrew Lyimo (kulia) sambamba na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo wakizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo walioudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa huduma za reja reja wa benki hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Andrew Lyimo (kulia) akizungumza wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa huduma za reja reja wa benki hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam jana.
Mmoja wa wateja wa benki ya Exim Tanzania kutoka taasisi Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania, Bw Abdulrahman Mohamed Ame akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...