Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akiongoza Kikao kazi cha Wakuu wa Magereza yote Tanzania Bara Mei 18, 2019 katika Ukumbi wa Magereza Mkoani Morogoro. Kushoto ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Uwesu Ngarama.
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akiwa meza kuu pamoja na Makamishna na Manaibu Kamishna wa Jeshi la Magereza wakifuatilia uwasilishaji wa mada mbalimbali wa kikao kazi cha Wakuu wa Magereza yote Tanzania Bara Mei 18, 2019 katika Ukumbi wa Magereza Mkoani Morogoro.
Mkuu wa Kitengo cha Mafunzo katika Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Charles Novart akitoa ufafanuzi katika Kikao cha Wakuu wa Magereza.
Baadhi ya Wakuu Magereza wakifuatilia kwa makini maelekezo ya Kamishna Jenerali wa Magereza katika kikao hicho.
Meneja Biashara toka Benki ya CRDB Tawi la Mkoa wa Morogoro, Bi. Theofora Madilu akitoa maelezo ya huduma mbalimbali za kifedha zinazotolewa na Benki ya CRDB katika Kikao kazi cha Wakuu wa Magereza Tanzania Bara(Picha na Jeshi la Magereza).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...