Kituo cha Huduma ya Maombi na Neno la Mungu Jijini Mwanza kinakukaribisha kwenye Ibada Maalum ya kuombea elimu/ mtihani wa kidato cha sita unaotarajiwa kuanza nchini Tanzania Mei 06 hadi 23, 2019. Ibada hiyo itakafanyika siku ya jumapili Mei 05, 2019 kuanzia saa tisa na nusu alasiri hadi saa kumi na mbili jioni eneo la Pasiansia/ Iloganzara jirani na kiwanda cha mabondo cha wachina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...