Martin Beatus Segeja mtanzania pekee aliyemaliza degree ya Mechanical Engineering katika chuo Kikuu Cha Texas Christian University (TCU) , mjini Dallas Fortworth, Marekani tarehe 11 Mei, 2019 . Kwa kipindi chote hicho ndugu Martin ameipeperusha vyema bendera ya Tanzania na miaka yote 4 amekuwa balozi Mzuri mpaka alitengenezewa scaff ya bendera ya Tanzania.
Martin Beatus Segeja mtanzania pekee aliyemaliza degree ya Mechanical Engineering katika chuo Kikuu Cha Texas Christian University (TCU) , mjini Dallas Fortworth, Marekani akiwa pamoja na marafiki zake waliofika kumpongeza kwa kulamba nondozz yake hiyo.
Nondozz ya Martin Beatus Segeja
Furaha ya kulamba Nondozz akiwa pamoja na wazazi.
Martin Beatus Segeja katikati akiwa na wazazi wake, na ndugu wengine wa familia siku ya graduation yake tarehe 11 Mei, 2019. Kulia ni Baba Mzazi Bw. Beatus Segeja na Kulia ni Mama mzazi Bi. Violeth Segeja. Wengine kwenye picha ni ndugu Abdallah Juma, Consolata Nyaki, Patricia Segeja na Father Msula.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...