Wafanyakazi wa Mfuko wa Bima ya Afya mkoa wa Arusha wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya Mei Mosi jijini Arusha
Wafanyakazi wa benki ya TIB Corporate wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya Mei Mosi jijini Arusha.
Wafanyakazi wa kampuni ya Lodhia wakiwa na furaha wakati wa maadhimisho ya Mei Mosi 2019.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira jiji la Arusha(Auwsa) wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya Mei Mosi jijini Arusha.
Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha,Idd Kimanta akimkabidhi kombe la ushindi katika michezo ya Mei Mosi 2019,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna.
Wafanyakazi wa kiwanda cha A to Z wakifurahia ushindi wa kwanza
Viongozi jukwaa kuu wakiimba wimbo wa mshikamano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...