Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Rugemeleza Nshala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Rugemeleza Nshala (katikati) na Mjumbe wa Chama hicho, Ndg. Harold Sungusia walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akizungumza na Ugeni kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akipokea zawadi ya ‘note book’/daftari ndogo ya dondoo kutoka kwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Rugemeleza Nshala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu
Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa sita kulia) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa tano kulia ni Rais wa Chama hicho, Dkt. Rugemeleza Nshala

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...