Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai wakiwaongoza Waheshimiwa Wabunge kupata futari aliyowaandalia katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Willium Lukuvi, Kaimu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe. Joseph Selasini wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wakwanza kulia), Waziri wa Elimu, Sayansi na Tenknlojia Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Nchi (Ofisi ya Waziri Mkuu)-Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Utawala na Raslimaliwatu wa Ofisi ya Bunge Bi. Jane Kajiru (wakwanza kushoto) wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...