Chama Cha Mapinduzi(CCM), kimewapongeza wanachama wake wa mkoa wa Dodoma kwa utulivu walionao kutokana na kutembea na wagombea makwapani.

Pongezi hizo zilitolewa na Katibu Mkuu wa CCM Dk.Bashiru Ally wakati wa hafla ya kumpokea Katibu Mkuu wa Chama cha Frelimo kutoka Msumbiji Samwel Roque ambaye kuja nchini kujifunza Tanzania inavyojishughulisha na siasa za kimapinduzi Barani Afrika.

Akizungumza na wanachama wa CCM Dodoma mara baada ya kumpokea kiongozi huyo, Katibu Mkuu huyo amesema wanaCCM Dodoma katika kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa wapo kwenye hali ya utulivu na hawatembei na wagombea makwapani.








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...