Naibu waziri wa mawasiliano na utalii Costantine Kanyasu akimsikiliza mmoja wa wakinamama wajasiriamali akitoa maelezo ya biashara yake  katika Maonesho ya Biashara na Utalii  yaliyofungwa April 8 2019 katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga
 Naibu waziri wa mawasiliano na utalii Costantine Kanyasu akisaini kitabu cha wageni katika banda la wanawake wajasiriamali katika Maonesho ya Biashara na Utalii katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
  Naibu waziri wa mawasiliano na utalii Costantine Kanyasu katika picha ya pamoja na watumishi katika banda la Wizara ya Maliasili na Utalii katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
 Meneja wa TRA mkoa wa Tanga,Specioza Owure akitoa maelezo kwenye banda la mamlaka hiyo kwa naibu waziri wa maliasili na utalii Costantine Kanyasu wakati alipokuwa akitembelea, kabla ya kufunga maonesho hayo katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
 Afisa uhusiano wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingiraTanga UWASA Dora Killo akitoa maelezo  kwa naibu waziri wa maliasili na utalii Costantine Kinyasu  katika kilele cha maonesho hayo katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.a.

 NAibu Waziri wa Maliasili  na Utalii akitembelea banda la mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Tanga 
 Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Tanga UWASA akipokea cheti cha ushindi wa kwanza kwenye taasisis za umma zilizoshiriki katika kilelle cha maonesho ya kibiashara ya kimataifa jijini Tanga
Afisa Maeneleo ya jamii jijini Tanga,Moses Kiksibo akipokea cheti kwenye maonyesho hayo katika viwanja wa Mwahako jijini Tanga.
Picha zote na Mbonea Herman

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...