Abdullatif. Yunus Michuzi Tv.

Mchezo wa Play off uliokuwa uchezwe dhidi ya Kagera Sugar na Pamba umeahirishwa mpaka kesho kwa kile kilichodaiwa kuwa Timu ya Pamba Fc ya Jijini Mwanza kugomea Mechi hiyo kurushwa hewani Mubashara na Azam TV ambao wamefika hapo uwanjani mapema kwa ajili ya kurusha mchezo huo.

Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi inasema imelazimika mchezo huo kuahirisha mpaka kesho ambapo sasa utarushwa, ingawa Mpaka sasa Timu ya Pamba haijatoa sababu za kugomea matangazo hayo, ilihali Azam wana lengo la kuweka mambo bayana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...