Namba ya Zabuni: KMA/2019/2010/UJ/01
Kwa ajili ya:-
Ujenzi wa majengo ya shule tarajali ya King Mansa Academy: Likokona-NANYUMBU, Mtwara.
  1. Taasisi ya King Mansa Academy inakaribisha maombi kutoka kwa mtu binafsi, makampuni, taasisi au vikundi mbalimbali ili kujenga majengo ya shule tarajali eneo lililoko Likokona- Nanyumbu.


  1. Unakaribishwa kununua nyaraka za zabuni na kupata maelezo kwa Katibu wa bodi ya zabuni ya King Mansa Academy ya Likokona- Nanyumbu. Ofisi ziko barabara ya kuelekea Chuo Kikuu cha Maji inaitwa KGSS stationery. Ofisi ziko wazi kuanzia saa saa2 asubuhi hadi saa11 jioni kila siku isipokuwa Jumapili na sikukuu.


  1. Ujenzi utakaofanyika utakuwa kama ifuatavyo:
LOT: 1- Ujenzi wa jengo la utawala.
LOT: 2- Vyumba 16 vya madarasa.
LOT: 3- Ukumbi wa matumizi mchanganyiko (Multipurpose Hall) na ujenzi wa jiko.
LOT: 4- Kuchimba kisima kirefu (drilling a borehole). 
LOT: 5- Nyumba 5 za watumishi (two in one).
LOT: 6-Vyoo matundu 40.


Tender document iandikwe kwa lugha ya Kiingereza.


  1. Ada ya zabuni ni Tsh 100,000/= fedha ambayo haitarejeshwa. Malipo hayo yafanyike kwa akaunti ya NMB 60310009133 yenye jina Mansa Nyuchi. Utakatiwa risiti kuonyesha imepokelewa na bodi ya zabuni ili kupatiwa kitini ‘pamphlet’ ya zabuni unayoomba.


  1. Bahasha zenye zabuni, halisi moja na nakala moja, zifungwe kwa makini zikionyesha Jina la namba ya zabuni. Kisha zirudishwe kwa Katibu ofisi za KGSS stationary.


  1. Kwa maelezo wasiliana na:
Katibu wa Bodi ya Zabuni
King Mansa Academy
S.L.P 700- Dar es Salaam
Simu: 0767 044068, 0787 044068, 0717 632885
Mwombaji ataje kiasi cha fedha katika zabuni aliyoomba.


  1. Siku ya mwisho ni tarehe 28/6/2019 saa 4:00 asubuhi. Kabla ya ufunguzi utakaofanyika hadharani katika ukumbi wa Princess Hall ulioko Mapambano – Sinza, unaruhusiwa kuleta Mwakilishi.

  1. Zabuni zifuatazo hazitakubaliwa:
  2. Zabuni zilizochelewa,
  3. Zabuni za kielektoniki au
  4. Zabuni zisizofungwa.


.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...