Pichani ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya mtwara mkoani humo Omari Kipanga wa tatu kulia hivi karibuni akitoa taarifa ya ujenzi wa kituo cha afya kinachojengwa kijiji cha Mkunwa kwenye halmashauri hiyo kwa waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Seleman Jafo wa tano kushoto wakati alipotembelea  na kukagua maendeleo ya ujenzi kijijini humo wengine ni viongozi na wananchi wa kijiji hicho.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)

 Pichani ni wananchi wa kijiji cha Mkunwa kwenye halmashauri hiyo hivi karibuni wakimsikiliza waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Seleman Jafo wakati alipotembelea  na kukagua maendeleo ya ujenzi  huo kijijini humo.
  waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Seleman Jafo wa pili kushoto hivi karibuni akitoa agizo kwa viongozi mkoani mtwara kuhusu kusua sua kwa ujenzi wa hospitali ya wilaya inayojengwa katika Kata ya Nanguruwe halmashauri ya wilaya ya mtwara mkoani humo wakati alipotembelea  na kukagua maendeleo ya ujenzi  huo katani humo wengine ni viongozi na wananchi wa kata hiyo
waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Seleman Jafo kati kati hivi karibuni akielekea na kukagua eneo la ujenzi wa hospitali ya wilaya inayojengwa katika Kata ya Nanguruwe halmashauri ya wilaya ya mtwara mkoani humo wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi  huo katani humo wengine ni viongozi na wananchi wa kata hiyo.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...