Spika wa Bunge la Kenya na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika Mhe. Justin Muturi akiongoza kikao cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama hicho Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Wajumbe wa Bodi hiyo na Wakwanza Kulia ni Katibu wa CPA-Kanda ya Afrika na ambaye pia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Ndg. Stephen Kagaigai na wanaofuatia upande huo ni Wajumbe wa Sekretarieti ya Bodi hiyo. 
Spika wa Bunge la Kenya na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika Mhe. Justin Muturi (kushoto) akisalimiana na Katibu wa CPA-Kanda ya Afrika na ambaye pia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Ndg. Stephen Kagaigai kabla ya kuanza kwa kikao. 
Katibu wa CPA-Kanda ya Afrika na ambaye pia ni Katibu wa Bunge la Tanzania Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akizungumza na Katibu wa Bunge la Kenya Ndg. Michael Sialai. 
Spika wa Bunge la Kenya na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika Mhe. Justin Muturi (wanne kutoka kulia) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Uwekezaji ya Chama hicho (waliokaa) na waliosimama ni Wajumbe wa Sekretarieti ya Bodi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...