Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na watumishi raia wa mkoa wa Dar Es Salaam ambao hawapo pichani katika kikao cha utendaji kazi pamoja na kufanya Tathimini ya mwaka jana ili kuweza kutatua changamoto zilizokuwepo zisijirudie kwa mwaka huu. Picha Na Jeshi na Polisi.
 Mkuu Wa Jeshi La Polisi Nchini IGP Simon Sirro,  Akimkabidhi Zawadi Ya Utendaji au utumishi Bora Mtumishi Raia Ndani Ya Jeshi La Polisi Aliefahamika Kwa Jina La Mwasi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna wa Polisi na watumishi Raia wa Jeshi hilo baada ya kumalizika kwa kikao cha utendaji kazi. Picha na Jeshi na Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...