Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) Profesa Justinian Ikingura(kushoto) akipata maelezo alipotembelea banda la taasisi hiyo katika maonesho ya 43 ya kimataifa ya biashara yanaendelea katika viwanja vya sabasaba kwa lengo la kuangalia jinsi taasisi hiyo ilivyoshiriki.
 Mwenyekiti wa Bodi ya GST, Profesa Justinian Ikingura akuzungumza na wataalam wa GST  juu ya kazi mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo, ikiwa pamoja kutoa msisitizo juu ya kuendelea kutoa taarifa kwa jamii za matokeo ya tafiti mbalimbali za jiosayansi zinazofanyika ili ziweze kutumiwa na kuleta tija katika sekta ya madini na sekta nyingine za kiuchumi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...