Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mpya wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. George Boniface  Simbachawene alipowasili Ofisini kwake Ikulu Jijini Dar Es Salaam leo Julai 22,2019 kwa ajili ya kujitambulisha rasmi mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe  Magufuli.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mpya wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. George Boniface  Simbachawene alipowasili Ofisini kwake Ikulu Jijini Dar Es Salaam leo Julai 22,2019 kwa ajili ya kujitambulisha rasmi mara baada ya 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano wa Mazingira Mhe. GHeorge Boniface Simbachawene akisaini kitabu kwa ajili ya kuanza kazi rasmi alipowasili Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli JIjini Dar es salaam leo Julai 22,2019 mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa Wizara hiyo Ikulu Jijini Dar es salaam.
 Naibu hi Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mussa Sima  (kushoto) akimkaribisha Waziri wa NcOfisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene (katikati) katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam mara baada ya kuapishwa Ikulu Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene akikaribishwa na Bi. Elizabeth Mtiganzi katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam mara baada ya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene akizungumza na Watendaji na Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais (hawapo pichani) katika Ofisi ndogo Dar es Salaam, mara baada ya kuwa kuapishwa Ikulu Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine Mhe. Simbachawene amewataka watendaji hao kushirikiana kwa pamoja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...