Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk Zainab Chaula akifungua mafunzo ya wakaguzi wa Mifumo ya uzalishaji Dawa na Vifaa tiba (GMP) kwa nchi wanachama wa SADC ambapo Tanzania ndiyo mwenyeji Wakufunzi wa mafunzo hayo wanatoka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA),Adam Fimbo.Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa hoteli ya Habour View  jijini jijini Dar es salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA),Adam Fimbo akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wakaguzi wa Mifumo ya uzalishaji Dawa na Vifaa tiba (GMP) kwa nchi wanachama wa SADC ambapo Tanzania ndiyo mwenyeji Mafunzo hayo yanafanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Habour View jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk Zainab Chaula akiteta jambo na Mratibu wa Mradi wa SADC Medicines Reguratory Harmonisation Project (SMRHP) Bi. Sakhile Dube Mwedzi(kulia
Mratibu wa Mradi wa SADC Medicines Reguratory Harmonisation Project (SMRHP) Bi. Sakhile Dube Mwedzi(kulia) akizungumza katika uzinduzi wa mafunzo hayo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba TMDA Bi. Gaudensia Simwanza akimkaribisha kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo ili kuzungumza na washiriki wa mafunzo hayo.
Picha ya pamoja
Washiriki wa mafunzo ya wakaguzi wa Mifumo ya uzalishaji Dawa na Vifaa tiba (GMP) kwa nchi wanachama wa SADC ambapo Tanzania ndiyo mwenyeji Wakufunzi wa mafunzo hayo wakimsiliza kwa makini Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk Zainab Chaula.(Picha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...