Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa 16 wa Wakuu wa Interpol  (NCB) kwa nchi za Afrika Mashariki katika Ukumbi wa AICC, Arusha.(Picha na Jeshi la Polisi)
Washiriki wa Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Interpol (NCB) kwa nchi za
Afrika Mashariki wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa
Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo.
(Picha na Jeshi la Polisi).
Washiriki wa Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Interpol (NCB) kwa nchi za
Afrika Mashariki wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa
Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo.
(Picha na Jeshi la Polisi).

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz
akisalimiana na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo (CP), Liberatus
Sabas mara baada ya kufungua Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Interpol
(NCB) kwa nchi za Afrika Mashariki (kushoto kwake) ni Mkuu wa Interpol
Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi (DCP), Daniel Nyambabe. (Picha na
Jeshi la Polisi).
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz akiwa
katika picha ya pamoja na Wakuu wa Interpol (NCB) kwa nchi za Afrika
Mashariki wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Interpol
(NCB) kwa nchi za Afrika Mashariki (Picha na Jeshi la Polisi).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...