Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, akipita kukagua mradi wa ujenziwa nyumba za askari Polisi zilizopo katika eneo la Fuoni wakati alipofanya ziaraya kikazi ya siku moja leo Kisiwani Zanzibar na kuzungumza na maofisa na askari wa vyeo mbalimbali. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akipokea salamu ya heshima
wakati alipowasili visiwani Zanzibar leo kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku moja kwalengo la kukagua miradi ya ujenzi wa nyumba za askari pamoja na
kuzungumza na maofisa na askari wa vyeo mbalimbali. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...