Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Nabii na Mtume Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha Ofisi kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisali na Nabii na Mtume Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha pamoja na ujumbe aliombatana nao walipomtembelea Ofisi kwake. Wengine katika picha ni Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Efatha Dodoma Bi. Frida Nyiti, Mwenyekiti wa Kamati ya Ibada-Bunge Chapel Mhe. Anna Lupembe (Mb), Mzee wa Kanisa la Efatha Winifrida Rutaindurwa na Msaidizi wa Mchungaji Mwingira Bw. Davis Ngowi.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiagana Nabii na Mtume Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha mara baada ya kuzungumza naye Ofisi kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Nabii na Mtume Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha mara baada ya kuzungumza naye Ofisi kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Nabii na Mtume Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha pamoja na ujumbe aliombatana nao. Kushoto kwa Mchungaji Mwingira ni Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Efatha Dodoma Bi. Frida Nyiti na kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ibada-Bunge Chapel Mhe. Anna Lupembe (Mb).PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...