Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akisaini kitabu cha maombolezo ya kmifo cha Nelson Mabeyo, mtoto wa Mkuu wa Majeshi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akizungumza na Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Robert Mboma, nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019, walipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Nelson Mabeyo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akizungumza na Mwanasiasa Mkongwe na aliyewahi kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Prof. Philemon Sarungi, wakati walipokwenda nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venace Mabeyo, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019, walipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Nelson Mabeyo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akimpa pole Mkuu wa Majeshi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, wakati alipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Nelson Mabeyo, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...