Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe akijisali laini yake kwa mtandao wa simu ya mkononi kwa njia ya alama za vidole katika banda la Airtel  alipotembelea banda la kampuni hiyo jana wakati wa mkutano wa Mawaziri kutoka Nchi wanachama wa Jumuia za Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaohusu  Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya  Hewa unaofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...