Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na wa Kati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa akizungumza wakati akiwasilisha mada katika warsha iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani city, jijini Dar es salaam, katika maonyesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2019 yaliyoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Benki ya CRDB ambao ni miongozi mwa wadhamini wa maonesho hayo, imeelezea fursa mbalimbali inazozitowa kwa wateja wakena namna inavyoweza kubadilisha sekta ya utalii nchini.
Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na wa Kati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa akifafanua jambo katika warsha iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani city, jijini Dar es salaam, katika maonyesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2019 yaliyoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).
Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya CRDB, Toyi Ruvumbagu akielezea jambo juu ya mikopo ya magari ya Utalii kwa baadhi ya washiriki wa warsha hiyo, iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani city, jijini Dar es salaam, katika maonyesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2019 yaliyoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Automechs Limited ( HAL), Satbir Hanspaul ambaye pia ni mbia wa Benki ya CRDB anayetengeneza na kuuza magari maalumu ya Utalii nchini, akifafanua jambo juu ya namna magari hayo yanavyoweza kuwa katika warsha hiyo, iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani city, jijini Dar es salaam, katika maonyesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2019 yaliyoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...