Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akipokea salamu kutoka kwa CPL Zurith baada ya kuwasili katika kituo cha Polisi cha Ruangwa alipopitia akiwa katika ziara ya Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Joseph Magufuli. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Kituo cha Polisi cha Ruangwa kilichopo mkoani Lindi.( PICHA NA JESHI LA POLISI)
Maafisa na wakaguzi wakimpokea Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro baada ya kuwasili katika kituo cha Polisi cha Ruangwa kilichopo wilayani Ruangwa mkoani Lindi kwaajili ya kusikiliza changamoto za askari wa kituo hicho. (PICHA NA JESHI LA POLISI)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...