Na Datus Mahendeka wa Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waendesha bodaboda walioanzisha vurugu wakikaidi amri ya Jeshi la Polisi,kukamatwa kwa mwenzao ambaye alikuwa amepakia abiria sita kinyume na sheria.
Picha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP Juma Bwire akiongea na waandishi wa habari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...