Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP
Liberatus Sabas akiwa na Kamati Ndogo Ya Vyombo Ulinzi Na
Usalama wakiteta jambo baada ya kumaliza kukagua moja ya
kipenyo cha Mtipesa ambacho kilichopo mkoani Mtwara mpakani
mwa Tanzania na Msumbiji. (PICHA NA JESHI LA POLISI)
Kamishna Wa Operesheni Na Mafunzo Ya Jeshi La Polisi Cp
Liberatus Sabas Akizungumza Na Madereva Bodaboda waliopo
Mpakani mwa Tanzania na Msumbiji eneo la Mtipesa juu ya
kukabilina na Wahalifu Watakaoingia au kutoka nchini msumbiji
ila amewaasa Madereva hao kuwa na tabia ya kutoa Taarifa
Katika Vituo Vya Polisi Vilivyo karibu yao hasa pale wanapoona
Mtu na Kumtilia shaka.(PICHA NA JESHI LA POLISI)
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP
Liberatus Sabas, akiwa katika moja ya mitumbwi eneo la
Kihanga Mkoani Mtwara inayotumiwa na raia kuvusha
watanzania wanaoelekea nchini Msumbiji katika shughuli za
kujipatia kipato ila wengi wanaotumia usafiri huo ni wakulima
(PICHA NA JESHI LA POLISI)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...