Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Shule ya Msingi Likangala kwa ajili ya kuhutubia wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi leo tarehe 15/11/2019.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Ruangwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Shule ya Msingi Likangala kwa ajili ya kuhutubia wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi leo tarehe 15/11/2019.

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ruangwa mara baada ya kuwasili Wilayani humo wakati akitokea Lindi mjini.

  Wananchi wa Ruangwa wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili Wilayani humo. PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...