Ndugu Mwananchi mwenzangu ambaye tayari una kitambulisho cha Mamlaka ya Kiambulisho cha Taifa (NIDA) au Namba ya Kitambulisho. Wahi ukajiandikishe kwenye maduka au mawakala wa makampuni ya huduma za simu haraka na mapema. Usisubiri dakika za mwisho kuepuka msongamano na usumbufu. Nenda sasa. Sajili laini yako ya simu kwa alama za vidole sasa. Usalama wako ndiyo kipaumbele chetu.

Kama hujapata Namba ya NIDA hakikisha unawasiliana na NIDA. Usajili laini ya simu kwa alama za vidole unafanyika bure yaani bila malipo na upatikanaji wa Namba ya NIDA ni bure. 

Imetolewa na:
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),
12/10/2019.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...